Matokeo ya mechi zote baada ya mzunguko wa saba kukamilika katika ligi ya NBC Championship
Mechi 170 za Championship zitaonekana mubashara kupitia Channel yako pendwa ya michezo @tv3tz kwa muonekano Ang'avu
Wekundu wa msimbazi, Simba hatimae imemaliza mashindano ya kombe la shirikishi Africa 2024/2025 ilio dhaminiwa na kuletwa kwetu na wadhamini wakuu Totall Energies CAF confederation cup, ziko hapa sababu za simba kushindwa kupindua meza...
MSIMAMO WA NBC CHAMPIONSHIP LEAGUE
Subscribe to our newsletter to get latest news, popular news and exclusive updates.