NYOTA TOTTENHAM HOTSPURS AGAWA UMEME SENEGAL
Kama hiyo haitoshi, Sarr aligusa pia na eneo la Elimu kwa kugawa vifaa vya mashuleni vikiwemo kompyuta mpakato, vichapishi na paneli za jua, huku akisaidia vifaa vya ukarabati wa kituo cha afya.
Sarr anafuata nyayo za mchezaji wa zamani wa Liverpool, Sadio Mane, ambaye aliwahi kuchangia pauni 500,000 (Tsh.1.7 Bilioni) za ujenzi wa hospitali kubwa ya Bambali hukohuko Senegal.
#Tv3Sports Katika kisimbuzi cha #AzamTv CH 416
🔥 TV3 SPORTS – Kila Mchezo Una Maana.
🤝 Imepewa nguvu na @quantuminfinity_
#TV3Sports #UzinduziRasmi #MichezoAfrikaMashariki #BurudaniYaKweli #LiveNaTV3 #PoweredByQuantum