Bao pekee la mchezo lilifungwa na Austin Odhiambo, akimalizia pasi nzuri kutoka kwa David Sakwa dakika za nyongeza za kipindi cha kwanza kwa mpira wa kushoto uliingia chini ya kona ya goli
Klabu ya Chelsea ipo katika hatua za mwisho kukamilisha makubaliano ya binafsi na Xavi Simons. Mchakato unaendelea vizuri na dili linaelekea kukamilika.