UTABIRI WA USHINDI WA PRISONS KUIFUNGA 2 SIMBA LEO
Tazama jinsi mashabiki wa klabu ya Prisons wakitamba kuifunga Goli 2 au zaidi klabu ya wekundu wa msimbazi Simba leo kwenye mchezo wa ligi kuu utakaopigwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo
IFAB Bodi ya vyama vya mpira wa miguu Duniani ndio chombo chenye mamlaka ya kuboresha sheria 17 za mpira wa miguu ambazo zinatumika duniani kote . Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limeongoza kwa mujibu ..