UTABIRI WA USHINDI WA PRISONS KUIFUNGA 2 SIMBA LEO
Tazama jinsi mashabiki wa klabu ya Prisons wakitamba kuifunga Goli 2 au zaidi klabu ya wekundu wa msimbazi Simba leo kwenye mchezo wa ligi kuu utakaopigwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo
Timu ya Taifa ya Senegal inatarajia kushiriki mashindano maalumu ya CECAFA 4 Nations Tournament yatakayohusisha mataifa manne kabla ya kuanza kwa mashindano ya CHAN.
Katika mkutano wake wa hivi karibuni, Tanzania Premier League Board (TPLB) imetoa adhabu kali dhidi ya Simba SC kutokana na ukiukwaji wa kanuni za ligi.