Timu ya Taifa ya Senegal inatarajia kushiriki mashindano maalumu ya CECAFA 4 Nations Tournament yatakayohusisha mataifa manne kabla ya kuanza kwa mashindano ya CHAN.
Katika mkutano wake wa hivi karibuni, Tanzania Premier League Board (TPLB) imetoa adhabu kali dhidi ya Simba SC kutokana na ukiukwaji wa kanuni za ligi.