KLABU YA SIMBA SC YAVUNJA MKATABA NA KOCHA MKUU ABDELHAK BENCHIKHA
Simba SC imefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba na kocha mkuu, Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake wawili, Kamal Boujnane na Farid Zemit.
IFAB Bodi ya vyama vya mpira wa miguu Duniani ndio chombo chenye mamlaka ya kuboresha sheria 17 za mpira wa miguu ambazo zinatumika duniani kote . Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limeongoza kwa mujibu ..